Wednesday, November 2, 2016

RAIS JOHN P. MAGUFULI



Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr JOHN P. MAGUFULI mapema wiki hii ameadhimisha miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwake. Rais huyo ambaye ameingia serikalini kwa kasi mwishoni mwa mwaka jana ameshukuru vyombo vya habari kwa ushirikiano wanaouonesha katika kipindi hiki ambacho yupo serikalini pia amewashukuru wote ambao wamemtakia heri yake ya kuzaliwa.


No comments:

Post a Comment